Skip to content
Ayubu 16:19-21

Ayubu 16:19-21

19
Hata sasa shahidi wangu yuko mbinguni; wakili wangu yuko juu.
20
Mwombezi wangu ni rafiki yangu macho yangu yamwagapo machozi kwa Mungu;
21
kwa niaba ya mtu anamsihi Mungu kama mtu anavyosihi kwa ajili ya rafiki yake.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options