Skip to content
Ayubu 15:2-6

Ayubu 15:2-6

2
“Je, mtu mwenye hekima hujibu kwa mawazo matupu, au kujaza tumbo lake kwa upepo wenye joto wa mashariki?
3
Je, aweza kubishana juu ya maneno yasiyofaa, kwa hotuba zisizo na maana?
4
Lakini unadhoofisha hata uchaji wa Mungu na kuzuia ibada mbele za Mungu.
5
Dhambi yako inasukuma kinywa chako, nawe umechagua ulimi wa hila.
6
Kinywa chako mwenyewe kinakuhukumu, wala si changu; midomo yako mwenyewe inashuhudia dhidi yako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options