Skip to content
Ayubu 15:17-18

Ayubu 15:17-18

17
“Nisikilize mimi nami nitakueleza, acha nikuambie yale niliyoyaona,
18
ambayo watu wenye hekima wameyanena, bila kuficha lolote walilopokea toka kwa baba zao
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options