Skip to content
Yeremia 7:5-7

Yeremia 7:5-7

5
Kama kweli mkibadili njia zenu na matendo yenu, mkatendeana haki kila mmoja na mwenzake,
6
kama msipomwonea mgeni, yatima wala mjane, na kumwaga damu isiyo na hatia mahali hapa, nanyi kama msipofuata miungu mingine kwa madhara yenu wenyewe,
7
ndipo nitawaacha mkae mahali hapa, katika nchi niliyowapa baba zenu milele na milele.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options