Yeremia 7:5-7
5
Kama kweli mkibadili njia zenu na matendo yenu, mkatendeana haki kila mmoja na mwenzake,
6
kama msipomwonea mgeni, yatima wala mjane, na kumwaga damu isiyo na hatia mahali hapa, nanyi kama msipofuata miungu mingine kwa madhara yenu wenyewe,
7
ndipo nitawaacha mkae mahali hapa, katika nchi niliyowapa baba zenu milele na milele.
Settings