Rukia maudhui
Yeremia 16:14-15

Ahadi ya Urejesho Ujao

Yeremia 16:14-15
14
“Hata hivyo, siku zinakuja,” asema Bwana, “wakati ambapo watu hawatasema tena, ‘Hakika kama Bwana aishivyo, aliyewapandisha Waisraeli kutoka Misri,’
15
bali watasema, ‘Hakika kama Bwana aishivyo, aliyewatoa wana wa Israeli kutoka nchi ya kaskazini na nchi zote alizokuwa amewafukuzia.’ Maana nitawarudisha katika nchi niliyowapa baba zao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options