Skip to content
Yakobo 5:2-6

Yakobo 5:2-6

2
Utajiri wenu umeoza na mavazi yenu yameliwa na nondo.
3
Dhahabu yenu na fedha yenu vimeliwa na kutu. Kutu yake itashuhudia dhidi yenu nayo itaila miili yenu kama vile moto. Mmejiwekea hazina kwa ajili ya siku za mwisho.
4
Angalieni! Ule ujira wa vibarua waliolima mashamba yenu mliouzuia kwa hila unapiga kelele dhidi yenu na vilio vya wavunaji vimefika masikioni mwa Bwana Mwenye Nguvu Zote.
5
Mmeishi duniani kwa anasa na kwa starehe, mmejinenepesha tayari kwa siku ya kuchinjwa.
6
Mmewahukumu na kuwaua watu wenye haki, waliokuwa hawapingani nanyi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options