Rukia maudhui
Yakobo 1:19-21

Kusikia, Kunena na Hasira

Yakobo 1:19-21
19
Ndugu zangu wapendwa, fahamuni jambo hili: Kila mtu awe mwepesi wa kusikiliza, lakini asiwe mwepesi wa kusema wala wa kukasirika.
20
Kwa maana hasira ya mwanadamu haitendi haki ya Mungu.
21
Kwa hiyo, ondoleeni mbali uchafu wote na uovu ambao umezidi kuwa mwingi, mkalipokee kwa unyenyekevu lile Neno lililopandwa ndani yenu ambalo laweza kuokoa nafsi zenu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options