Skip to content
Yakobo 1:1-2

Yakobo 1:1-2

1
Yakobo, mtumwa wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo: Kwa makabila kumi na mawili yaliyotawanyika ulimwenguni: Salamu.
2
Ndugu zangu, hesabuni kuwa ni furaha tupu mnapopatwa na majaribu mbalimbali,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options