Skip to content
Yakobo 1:2-4

Yakobo 1:2-4

2
Ndugu zangu, hesabuni kuwa ni furaha tupu mnapopatwa na majaribu mbalimbali,
3
kwa sababu mnajua ya kuwa kujaribiwa kwa imani yenu huleta saburi.
4
Saburi na iwe na kazi timilifu, ili mpate kuwa wakamilifu, mmekamilishwa, bila kupungukiwa na kitu chochote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options