Skip to content
Yakobo 1:2-4

Majaribu Huzaa Uvumilivu

Yakobo 1:2-4
2
Ndugu zangu, hesabuni kuwa ni furaha tupu mnapopatwa na majaribu mbalimbali,
3
kwa sababu mnajua ya kuwa kujaribiwa kwa imani yenu huleta saburi.
4
Saburi na iwe na kazi timilifu, ili mpate kuwa wakamilifu, mmekamilishwa, bila kupungukiwa na kitu chochote.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options