Rukia maudhui
Isaya 66:5-6

Kuhalalishwa kwa Waaminifu

Isaya 66:5-6
5
Sikieni neno la Bwana, ninyi mtetemekao kwa neno lake: “Ndugu zenu wanaowachukia ninyi na kuwatenga ninyi kwa sababu ya Jina langu, wamesema, ‘Bwana na atukuzwe, ili tupate kuona furaha yenu!’ Hata sasa wataaibika.
6
Sikieni hizo ghasia kutoka mjini, sikieni hizo kelele kutoka hekaluni! Ni sauti ya Bwana ikiwalipa adui zake yote wanayostahili.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options