Rukia maudhui
Isaya 64:10-12

Maombolezo Juu ya Ukiwa wa Yerusalemu

Isaya 64:10-12
10
Miji yako mitakatifu imekuwa jangwa; hata Sayuni ni jangwa, Yerusalemu ni ukiwa.
11
Hekalu letu takatifu na tukufu, mahali ambapo baba zetu walikusifu wewe, limechomwa kwa moto, navyo vitu vyote tulivyovithamini vimeharibika.
12
Ee Bwana, baada ya haya yote, utajizuia? Je, utanyamaza kimya na kutuadhibu kupita kiasi?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options