Skip to content
Isaya 64:8-9

Kumsihi Mungu Kama Baba na Mfinyanzi

Isaya 64:8-9
8
Lakini, Ee Bwana, wewe ndiwe Baba yetu. Sisi ni udongo, wewe ndiye mfinyanzi; sisi sote tu kazi ya mkono wako.
9
Ee Bwana, usikasirike kupita kiasi, usizikumbuke dhambi zetu milele. Ee Bwana, utuangalie, twakuomba, kwa kuwa sisi sote tu watu wako.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options