Skip to content
Isaya 64:6-7

Kukiri Dhambi na Kutostahili

Isaya 64:6-7
6
Sisi sote tumekuwa kama mtu aliye najisi, nayo matendo yetu yote ya uadilifu ni kama matambaa machafu; sisi sote tunasinyaa kama jani, na kama upepo maovu yetu hutupeperusha.
7
Hakuna yeyote anayeliitia jina lako wala anayejitahidi kukushika, kwa kuwa umetuficha uso wako na kutuacha tudhoofike kwa sababu ya dhambi zetu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options