Skip to content
Isaya 64:1-3

Isaya 64:1-3

1
Laiti ungelipasua mbingu na kushuka chini, ili milima ingelitetemeka mbele zako!
2
Kama vile moto uteketezavyo vijiti na kusababisha maji kuchemka, shuka ukafanye jina lako lijulikane kwa adui zako, na kusababisha mataifa yatetemeke mbele zako!
3
Kwa maana ulipofanya mambo ya kutisha ambayo hatukuyatazamia, ulishuka, nayo milima ikatetemeka mbele zako.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options