Rukia maudhui
Isaya 57:1-2

Kifo cha Mwenye Haki

Isaya 57:1-2
1
Mwenye haki hupotea, wala hakuna hata mmoja awazaye hilo moyoni mwake; watu wanaomcha Mungu huondolewa, wala hakuna hata mmoja anayeelewa kuwa wenye haki wameondolewa ili wasipatikane na maovu.
2
Wale waendao kwa unyofu huwa na amani; hupata pumziko walalapo mautini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options