Rukia maudhui
Isaya 52:11-12

Amri ya Kuondoka Babeli kwa Usafi

Isaya 52:11-12
11
Ondokeni, ondokeni, tokeni huko! Msiguse kitu chochote kilicho najisi! Tokeni kati yake mwe safi, ninyi mchukuao vyombo vya Bwana.
12
Lakini hamtaondoka kwa haraka, wala hamtakwenda kwa kukimbia; kwa maana Bwana atatangulia mbele yenu, Mungu wa Israeli atakuwa mlinzi nyuma yenu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options