Rukia maudhui
Isaya 51:7-8

Msiogope Lawama za Wanadamu

Isaya 51:7-8
7
“Nisikieni, ninyi mnaojua lililo sawa, ninyi watu ambao mna sheria yangu mioyoni mwenu: Msiogope mashutumu ya wanadamu wala msitiwe hofu na matukano yao.
8
Kwa maana nondo atawala kama vazi, nao funza atawatafuna kama sufu. Lakini haki yangu itadumu milele, wokovu wangu kwa vizazi vyote.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options