Rukia maudhui
Isaya 42:10-12

Wito wa Sifa Ulimwenguni

Isaya 42:10-12
10
Mwimbieni Bwana wimbo mpya, sifa zake toka miisho ya dunia, ninyi mshukao chini baharini, na vyote vilivyomo ndani yake, enyi visiwa na wote wakaao ndani yake.
11
Jangwa na miji yake na vipaze sauti zao; makao anamoishi Kedari na yashangilie. Watu wa Sela waimbe kwa furaha, na wapige kelele kutoka vilele vya milima.
12
Wampe Bwana utukufu, na kutangaza sifa zake katika visiwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options