Skip to content
Isaya 42:1-4

Isaya 42:1-4

1
“Huyu hapa mtumishi wangu, ninayemtegemeza, mteule wangu, ambaye ninapendezwa naye; nitaweka Roho yangu juu yake, naye ataleta haki kwa mataifa.
2
Hatapaza sauti wala kupiga kelele, wala hataiinua sauti yake barabarani.
3
Mwanzi uliopondeka hatauvunja, na utambi unaofuka moshi hatauzima. Kwa uaminifu ataleta haki,
4
hatazimia roho wala kukata tamaa, mpaka atakaposimamisha haki juu ya dunia. Visiwa vitaweka tumaini lao katika sheria yake.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options