Rukia maudhui
Isaya 40:28-31

Nguvu kwa Waliochoka

Isaya 40:28-31
28
Je wewe, hufahamu? Je wewe, hujasikia? Bwana ni Mungu wa milele, Muumba wa miisho ya dunia. Hatachoka wala kulegea, wala hakuna hata mmoja awezaye kuupima ufahamu wake.
29
Huwapa nguvu waliolegea na huongeza nguvu za wadhaifu.
30
Hata vijana huchoka na kulegea, nao vijana wanaume hujikwaa na kuanguka,
31
bali wale wamtumainio Bwana atafanya upya nguvu zao. Watapaa juu kwa mbawa kama tai; watapiga mbio wala hawatachoka, watatembea kwa miguu wala hawatazimia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options