Rukia maudhui
Isaya 40:27-28

Uhakikisho kwa Israeli Waliochoka

Isaya 40:27-28
27
Kwa nini unasema, ee Yakobo, nanyi ee Israeli, kulalamika, “Njia yangu imefichwa Bwana asiione, Mungu wangu hajali shauri langu?”
28
Je wewe, hufahamu? Je wewe, hujasikia? Bwana ni Mungu wa milele, Muumba wa miisho ya dunia. Hatachoka wala kulegea, wala hakuna hata mmoja awezaye kuupima ufahamu wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options