Rukia maudhui
Isaya 40:21-22

Isaya 40:21-22

21
Je, hujui? Je, hujasikia? Je, hujaambiwa tangu mwanzo? Je, hujafahamu tangu kuumbwa kwa dunia?
22
Anakaa kwenye kiti cha enzi juu ya duara ya dunia, nao watu wakaao ndani yake ni kama panzi. Huzitandaza mbingu kama chandarua, na kuzitandaza kama hema la kuishi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options