Rukia maudhui
Isaya 38:21-22

Hitimisho la Simulizi na Maelezo ya Mwisho

Isaya 38:21-22
21
Isaya alikuwa amesema, “Tengenezeni dawa ya kubandika ya tini, mweke juu ya jipu, naye atapona.”
22
Hezekia alikuwa ameuliza, “Kutakuwa na ishara gani kwamba nitapanda kwenda Hekalu la Bwana?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options