Skip to content
Isaya 12:4-5

Isaya 12:4-5

4
Katika siku hiyo mtasema: “Mshukuruni Bwana, mliitie jina lake; julisheni miongoni mwa mataifa yale aliyoyafanya, tangazeni kuwa jina lake limetukuka.
5
Mwimbieni Bwana, kwa kuwa ametenda mambo makuu, hili na lijulikane duniani kote.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options