Rukia maudhui
Isaya 1:18-20

Mwaliko wa Kutubu na Kusamehewa

Isaya 1:18-20
18
“Njooni basi tuhojiane,” asema Bwana. “Ingawa dhambi zenu ni kama rangi nyekundu, zitakuwa nyeupe kama theluji; ingawa ni nyekundu sana kama damu, zitakuwa nyeupe kama sufu.
19
Kama mkikubali na kutii, mtakula mema ya nchi,
20
lakini kama mkikataa na kuasi, mtaangamizwa kwa upanga.” Kwa kuwa kinywa cha Bwana kimenena.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options