Skip to content
Hosea 8:1-4

Hosea 8:1-4

1
“Wekeni tarumbeta midomoni mwenu! Tai yuko juu ya nyumba ya Bwana kwa sababu watu wamevunja Agano langu, wameasi dhidi ya sheria yangu.
2
Israeli ananililia, ‘Ee Mungu wetu, tunakukubali!’
3
Lakini Israeli amekataa lile lililo jema, adui atamfuatia.
4
Wanaweka wafalme bila idhini yangu, wamechagua wakuu bila kibali changu. Kwa fedha zao na dhahabu wamejitengenezea sanamu kwa ajili ya maangamizi yao wenyewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options