Skip to content
Hosea 7:1-3

Hosea 7:1-3

1
kila mara nilipotaka kumponya Israeli, dhambi za Efraimu zinafichuliwa na maovu ya Samaria yanafunuliwa. Wanafanya udanganyifu, wevi huvunja nyumba, maharamia hunyangʼanya barabarani,
2
lakini hawafahamu kwamba ninakumbuka matendo yao yote mabaya. Dhambi zao zimewameza, ziko mbele zangu siku zote.
3
“Wanamfurahisha sana mfalme kwa maovu yao, wakuu wao kwa uongo wao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options