Skip to content
Hosea 4:10-12

Hosea 4:10-12

10
“Watakula lakini hawatashiba; watajiingiza katika ukahaba lakini hawataongezeka, kwa sababu wamemwacha Bwana na kujiingiza wenyewe
11
katika ukahaba, divai ya zamani na divai mpya, ambavyo huondoa ufahamu
12
wa watu wangu. Hutaka shauri kutoka kwa sanamu ya mti nao hujibiwa na fimbo ya mti. Roho ya ukahaba imewapotosha, hawana uaminifu kwa Mungu wao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options