Skip to content
Waebrania 6:1-3

Waebrania 6:1-3

1
Kwa hiyo, tukiachana na mafundisho yale ya awali kuhusu Kristo na tukisonga mbele ili tufikie utimilifu, sio kuweka tena msingi wa mafundisho ya kuzitubia kazi zisizo na uhai na imani katika Mungu,
2
mafundisho kuhusu aina za ubatizo, kuwekea watu mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele.
3
Mungu akitujalia tutafanya hivyo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options