Rukia maudhui
Waebrania 13:5-6

Bwana Ndiye Msaidizi Wangu

Waebrania 13:5-6
5
Yalindeni maisha yenu msiwe na tabia ya kupenda fedha, bali mridhike na vile mlivyo navyo, kwa sababu Mungu amesema, “Kamwe sitakuacha, wala sitakupungukia.”
6
Kwa hiyo tunaweza kusema kwa ujasiri, “Bwana ni msaada wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options