Rukia maudhui
Waebrania 1:1-2

Waebrania 1:1-2

1
Zamani Mungu alisema na baba zetu kwa njia ya manabii mara nyingi na kwa njia mbalimbali,
2
lakini katika siku hizi za mwisho anasema nasi kwa njia ya Mwanawe, ambaye amemweka kuwa mrithi wa vitu vyote, na ambaye kupitia kwake aliuumba ulimwengu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options