15
Ndipo Mungu akamwambia Noa,
16
“Toka ndani ya safina, wewe na mkeo na wanao na wake zao.
17
Utoe nje kila aina ya kiumbe hai aliye pamoja nawe: Ndege, wanyama na viumbe vyote vitambaavyo juu ya ardhi, ili wakazae, na kuongezeka na kuijaza tena dunia.”