Rukia maudhui
Mwanzo 8:10-11

Mwanzo 8:10-11

10
Noa akangojea siku saba zaidi kisha akamtoa tena hua kutoka safina.
11
Wakati hua aliporejea kwa Noa jioni, alikuwa amechukua katika mdomo wake jani bichi la mzeituni, lililochumwa wakati ule ule! Ndipo Noa akajua ya kuwa maji yameondoka juu ya uso wa dunia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options