Rukia maudhui
Mwanzo 7:21-23

Mwanzo 7:21-23

21
Kila kiumbe hai kitambaacho juu ya nchi kikaangamia: Ndege, wanyama wa kufugwa, wanyama pori, viumbe vyote juu ya nchi na wanadamu wote.
22
Kila kiumbe juu ya nchi kavu chenye pumzi ya uhai kikafa.
23
Kila kitu chenye uhai juu ya uso wa nchi kilifutiliwa mbali, watu, wanyama, viumbe vitambaavyo na ndege warukao angani wakafutiliwa mbali toka duniani. Waliobaki ni Noa peke yake na wale waliokuwa pamoja naye ndani ya safina.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options