Rukia maudhui
Mwanzo 6:5-8

Mungu ahuzunika na kutangaza hukumu

Mwanzo 6:5-8
5
Bwana akaona jinsi uovu wa mwanadamu ulivyokuwa mkubwa duniani, na ya kuwa kila mwelekeo wa mawazo ya moyo wake wakati wote ulikuwa mbaya tu.
6
Bwana akasikitika kwamba alimuumba mwanadamu duniani, moyo wa Mungu ukajaa masikitiko.
7
Kwa hiyo Bwana akasema, “Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemuumba kutoka kwenye uso wa dunia, wanadamu na wanyama, pamoja na viumbe vitambaavyo na ndege wa angani. Kwa maana nasikitika kuwaumba.”
8
Lakini Noa akapata kibali machoni pa Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options