- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
Ukoo kutoka Sethi hadi Yaredi
Mwanzo 5:6-20
6
Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.
7
Baada ya kumzaa Enoshi, Sethi aliishi miaka 807, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
8
Sethi aliishi jumla ya miaka 912, ndipo akafa.
9
Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.
10
Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815, naye alikuwa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
11
Enoshi aliishi jumla ya miaka 905, ndipo akafa.
12
Kenani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.
13
Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
14
Kenani aliishi jumla ya miaka 910, ndipo akafa.
15
Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.
16
Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
17
Mahalaleli aliishi jumla ya miaka 895, ndipo akafa.
18
Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, akamzaa Enoki.
19
Baada ya kumzaa Enoki, Yaredi aliishi miaka 800, naye akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
20
Yaredi aliishi jumla ya miaka 962, ndipo akafa.
Settings