Zum Inhalt springen
Mwanzo 49:29-32

Mwanzo 49:29-32

29
Ndipo alipowapa maelekezo haya: “Mimi niko karibu kukusanywa kwa watu wangu. Mnizike pamoja na baba zangu kwenye pango katika shamba la Efroni, Mhiti,
30
pango lililoko katika shamba la Makpela, karibu na Mamre huko Kanaani, ambalo Abrahamu alinunua kwa ajili ya mahali pa kuzikia kutoka kwa Efroni, Mhiti, pamoja na shamba.
31
Huko ndiko Abrahamu na Sara mkewe walikozikwa, huko akazikwa Isaki na Rebeka mkewe, na huko nilimzika Lea.
32
Shamba hilo na pango lililoko ndani yake lilinunuliwa kutoka kwa Wahiti.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options