Skip to content
Mwanzo 42:7-9

Mwanzo 42:7-9

7
Mara Yosefu alipowaona ndugu zake, akawatambua, lakini akajifanya mgeni na kuzungumza nao kwa ukali, akiwauliza, “Ninyi mnatoka wapi?” Wakamjibu, “Tumetoka katika nchi ya Kanaani kuja kununua chakula.”
8
Ingawa Yosefu aliwatambua ndugu zake, wao hawakumtambua.
9
Ndipo Yosefu alipokumbuka ndoto zake kuwahusu wao, akawaambia, “Ninyi ni wapelelezi! Mmekuja kuangalia mahali ambapo nchi yetu haina ulinzi.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options