Skip to content
Mwanzo 38:1

Mwanzo 38:1

Inaonyesha mstari 1 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Wakati ule, Yuda akawaacha ndugu zake, akaenda kuishi na Hira Mwadulami.
2
Huko Yuda akakutana na binti wa Kikanaani aitwaye Shua, akamwoa na akakutana naye kimwili,
3
akapata mimba, akamzaa mwana, ambaye alimwita Eri.
4
Akapata mimba tena, akamzaa mwana na kumwita Onani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options