Rukia maudhui
Mwanzo 3:6-7

Kutotii na anguko

Mwanzo 3:6-7
6
Mwanamke alipoona ya kuwa tunda la mti huo lilikuwa zuri kwa chakula na la kupendeza macho, tena linatamanika kwa kujipatia hekima, basi akachuma katika matunda yake, akala, pia akampa mumewe, aliyekuwa pamoja naye, naye akala.
7
Ndipo macho yao wote wawili yakafumbuliwa, wakajiona kwamba walikuwa uchi; hivyo wakashona majani ya mtini, wakajifunika.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options