Mwanzo 28:6-7
6
Sasa Esau akajua kuwa Isaki amembariki Yakobo na kumtuma kwenda Padan-Aramu ili achukue mke huko na kwamba alipombariki alimwamuru akisema, “Usioe mke katika binti za Wakanaani,”
7
tena kwamba Yakobo amewatii baba yake na mama yake naye amekwenda Padan-Aramu.