Skip to content
Mwanzo 27:43-45

Mwanzo 27:43-45

43
Sasa basi, mwanangu, fanya nisemalo: Kimbilia haraka kwa Labani ndugu yangu kule Harani.
44
Ukae naye kwa muda mpaka ghadhabu ya ndugu yako itulie.
45
Wakati ndugu yako atakapokuwa hana hasira nawe tena na amesahau uliyomtendea, nitakupelekea ujumbe urudi. Kwa nini niwapoteze wote wawili kwa siku moja?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options