Skip to content
Mwanzo 25:13-15

Mwanzo 25:13-15

13
Haya ndiyo majina ya wana wa Ishmaeli, yaliyoorodheshwa kulingana na jinsi walivyozaliwa: Mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli ni Nebayothi, akafuatia Kedari, Adbeeli, Mibsamu,
14
Mishma, Duma, Masa,
15
Hadadi, Tema, Yeturi, Nafishi na Kedema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options