Rukia maudhui
Mwanzo 25:1-6

Wazao wa baadaye wa Abrahamu

Mwanzo 25:1-6
1
Abrahamu alioa mke mwingine, ambaye jina lake aliitwa Ketura.
2
Huyu alimzalia Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki na Shua.
3
Yokshani alikuwa baba wa Sheba na Dedani, wazao wa Dedani walikuwa Waashuri, Waletushi na Waleumi.
4
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida na Eldaa. Hawa wote walikuwa uzao wa Ketura.
5
Abrahamu akamwachia Isaki kila kitu alichokuwa nacho.
6
Lakini Abrahamu alipokuwa bado hai, akawapa watoto wa masuria wake zawadi, kisha akawaondoa waende kuishi pande za mashariki mbali na mwanawe Isaki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options