Skip to content
Mwanzo 21:1-5

Mwanzo 21:1-5

1
Wakati huu Bwana akamrehemu Sara kama alivyokuwa amesema, naye Bwana akamtendea Sara kile alichokuwa ameahidi.
2
Sara akapata mimba, akamzalia Abrahamu mwana katika uzee wake, majira yale ya Mungu aliomwahidi.
3
Abrahamu akamwita Isaki yule mwana ambaye Sara alimzalia.
4
Isaki alipokuwa na umri wa siku nane, Abrahamu akamtahiri, kama Mungu alivyomwamuru.
5
Abrahamu alikuwa na miaka 100 wakati Isaki mwanawe alipozaliwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options