Mwanzo 20:9-10
9
Kisha Abimeleki akamwita Abrahamu na kumwambia, “Wewe umetufanyia nini? Nimekukosea nini hata ukaleta hatia kubwa namna hii juu yangu na ufalme wangu? Umenifanyia mambo ambayo hayakupasa kufanyika.”
10
Abimeleki akamuuliza Abrahamu, “Ulikuwa na kusudi gani kufanya hivi?”