Rukia maudhui
Mwanzo 19:20-21

Mwanzo 19:20-21

20
Tazama, hapa kuna mji karibu wa kukimbilia, nao ni mdogo. Niruhusuni nikimbilie humo, ni mdogo sana, ama sivyo? Ndipo maisha yangu yatasalimika.”
21
Akamwambia, “Vema sana, nitalikubali hili ombi pia, sitauangamiza mji ulioutaja.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options