Rukia maudhui
Mwanzo 16:5-6

Mzozo na kukimbia kwa Hagari

Mwanzo 16:5-6
5
Ndipo Sarai akamwambia Abramu, “Unawajibika na manyanyaso ninayoyapata. Nilimweka mtumishi wangu mikononi mwako, sasa kwa vile anajua kwamba ana mimba, ananidharau mimi. Bwana na aamue kati yako na mimi.”
6
Abramu akamwambia, “Mtumishi wako yuko mikononi mwako. Mtendee lolote unalofikiri ni bora zaidi.” Ndipo Sarai akamtesa Hagari, hivyo akamtoroka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options