মূল বিষয়বস্তুতে যান
Mwanzo 15:18-21

Mwanzo 15:18-21

18
Siku hiyo Bwana akafanya Agano na Abramu, na kumwambia, “Nitawapa wazao wako nchi hii, kuanzia Kijito cha Misri hadi mto ule mkubwa, Frati,
19
yaani nchi ya Wakeni, Wakenizi, Wakadmoni,
20
Wahiti, Waperizi, Warefai,
21
Waamori, Wakanaani, Wagirgashi na Wayebusi.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options