Skip to content
Mwanzo 11:10-15

Mwanzo 11:10-15

10
Hivi ndivyo vizazi vya Shemu. Miaka miwili baada ya gharika, Shemu alipokuwa na miaka 100, akamzaa Arfaksadi.
11
Baada ya kumzaa Arfaksadi, Shemu aliishi miaka 500, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.
12
Wakati Arfaksadi alipokuwa na miaka thelathini na mitano, akamzaa Shela.
13
Baada ya Arfaksadi kumzaa Shela, aliishi miaka 403, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.
14
Shela alipokuwa na miaka thelathini, akamzaa Eberi.
15
Shela baada ya kumzaa Eberi, aliishi miaka 403, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options